JUST A BAND LYRICS

"Ha-He (Makmende Amerudi)"

Microphone check one, one two (Musyoka)

ukiwasha nare Mathare 'taonja vibare
mi si mnati, si barbie, niko tu katikati
staki kuskiza story za charity, charity
nipe wings ni-defy-fy gravity, gravity
sema oh

Juu tuko works mzeiya
evacuate the area
Juu tuko works mzeiya

Serikali haijali
si unaona mbwa kali ako pale
dame amejam juu dough haikam
na siwezi kum-show ati life ni exam juu
ntatupiwa sufuria
na hizo ni aibu ndogo ndogo mi sipendi
so nikikupita tao, tao
jua sio madharau-rau

Juu tuko works mzeiya
evacuate the area
Juu tuko works mzeiya

nipe, nipe nafasi
nikueleze kiasi
vile sisi hufanya
pande hii ya the tracks
hatuchezi na kazi
usipoteze wakati
tumekunja mashati

Juu tuko works mzeiya
evacuate the area
Juu tuko works mzeiya

Juu tuko works mzeiya
evacuate the area
Juu tuko works mzeiya

Juu tuko works mzeiya
evacuate the area
Juu tuko works mzeiya

Juu tuko works mzeiya
evacuate the area
Juu tuko works mzeiya

nipe, nipe nafasi
nikueleze kiasi
vile sisi hufanya
pande hii ya the tracks

nipe, nipe nafasi
nikueleze kiasi
vile sisi hufanya
pande hii ya the tracks

[www.mistari.com]
All lyrics are property and copyright of their owners. All lyrics provided for educational purposes only.
Copyright © mistari.com 2009