KNAR-NA LYRICS

"Maisha"

Verse 1

Tafadhali naomba tuliza ukawa mkali,
usintupe mbali
Nakupenda, sasa we wa enda
Nakubali, nimekosa.

Pre-hook

Achana na wengine
Hii ni kati yetu
Sisi tu wawili.
 Basi basi poa mama,
Tuliza dada.

Chorus

Haya maisha mama
Haya maisha mama
Hii ni maisha mama
 Haya maisha ma
Hii ni maisha mama
Haya maisha ma.

Verse 2

Miaka nnee zimepita,
 Tatu bila vita,
Kajenga ukuta siwezi kupita
Roho umeficha, yangu ya vunjika
Kweli hi hasara, mbona hii hasira

 

Pre Hook

Achana na wengine
Hii ni kati yetu
Sisi tu wawili.
 Basi basi poa mama,
Tuliza dada.

 

Chorus

Haya maisha mama
Haya maisha mama
Hii ni maisha mama
Haya maisha ma
Hii ni maisha mama
Haya maisha ma.

(Thanks Knar-na for these lyrics)

[www.mistari.com]
All lyrics are property and copyright of their owners. All lyrics provided for educational purposes only.
Copyright © mistari.com 2009