PAM LYRICS

"Dhahabu"

Intro

Tim bana is the mic on
should I start recording
seriously Tim is the mic on
we can start yeah?
sawa

Verse 1

Maneno matamu kama asali ndio waniambia
wanituliza kwako wanishika mkono ninapolia
haunitoi rangi mbele ya watu waniheshimu
wanieleza mambo yalivyo bila udanganyifu

Bridge

sitaki mali yako
wala pesa zako
nipe roho yako
niwe wako

Chorus

the little things you do
ni kama dhahabu
yanichangamsha na furaha ya ajabu

the little things you do
ni kama dhahabu
yanichangamsha na furaha ya ajabu

Verse 2

wanitafutia ua nzuri kama nyota angani
huoni haya kusema pole au samahani
wanipeleka Java kunywa kahawa kwani ni dawa
yangu baada ya siku ndefu na kazi ngumu

Bridge

sitaki mali yako
wala pesa zako
nipe roho yako
niwe wako

Chorus

the little things you do
ni kama dhahabu
yanichangamsha na furaha ya ajabu

the little things you do
ni kama dhahabu
yanichangamsha na furaha ya ajabu

Verse 3

wanichanga, changanisha
wanichanga, changanisha
wanichanga, changanisha
wanichanga, changanisha

Bridge

sitaki mali yako
wala pesa zako
nipe roho yako
niwe wako

Chorus

the little things you do
ni kama dhahabu
yanichangamsha na furaha ya ajabu

the little things you do
ni kama dhahabu
yanichangamsha na furaha ya ajabu

[www.mistari.com]
All lyrics are property and copyright of their owners. All lyrics provided for educational purposes only.
Copyright © mistari.com 2009