RINGTONE LYRICS

"Yesu Ni Mwamba"

CHORUS

Yesu kwangu ni mwamba, mimi nimeamua,
Milele nitamfuata, mimi sitamuacha

Yesu kwangu ni mwamba, mimi nimeamua,
Milele nitamfuata, mimi sitamuacha

Ye ni Mwamba huwezi anguka, mvua ikinyeshahauwezi loa,
Ye ni mwamba huwezi pasuka, Sunami ikimuona ye inainama,
Nimejificha nyuma yake, ameniweka chini ya mbawa zake,
Kama kifaranga kwake bado nadeka, Kama kifaranga kwake bado nadeka,
Nikawamieje wewe ukiteseka, ukiwa kwake huwezi sononeka,
Ukiwa kwake huwezi sononeka kama kifaranga kwake bado nadeka,

CHORUS

Yesu kwangu ni mwamba, mimi nimeamua,
Milele nitamfuata, mimi sitamuacha

Yesu kwangu ni mwamba, mimi nimeamua,
Milele nitamfuata, mimi sitamuacha

Nimejificha chini ya mwamba, mwamba ni Yesu mwamba imara,
Ananipenda siwezi mkataa, mimi na yeye tunapendana,
Nimejificha chini ya mwamba, mwamba ni Yesu mwamba imara,
Ananipenda siwezi mkataa, mimi na yeye tunapendana,
Nani ndiye mwamba,….ni Yesu,
Nani anaponya,……….ni Yesu,
Nani abariki,………..Ni Yesu ni Yesu ni Yesu,
Nani atupenda,……Ni Yesu,
Nani aokoa,……….Ni Yesu,
Nani mwenye nguvu,………Ni Yesu, ni Yesu, ni Yesu

CHORUS

Yesu kwangu ni mwamba, mimi nimeamua,
Milele nitamfuata, mimi sitamuacha

Yesu kwangu ni mwamba, mimi nimeamua,
Milele nitamfuata, mimi sitamuacha

Just come the way you are, anakupenda sana ye walai,
Just come the way you are, atakufanyia poa mpaka ufurahi,
Just come the way you are, anakupenda sana ye walai,
Just come the way you are, atakufanyia poa mpaka ufurahi,

[www.mistari.com]
All lyrics are property and copyright of their owners. All lyrics provided for educational purposes only.
Copyright © mistari.com 2009