TATTUU LYRICS

"Jua Lanyesha"

Chorus

jua lanyesha
mvua yawaka
siku zapita
hakuna matata

jua lanyesha
mvua yawaka
siku zapita
hakuna matata

Verse 1

na nikasema
siku yaanza pambazuka
na nikasema
mpanda ngazi atashuka
akionekana
najua ye atanyongwa
mwana wa nyoka
kapinduka kawa paka

Chorus

jua lanyesha
mvua yawaka
siku zapita
hakuna matata

jua lanyesha
mvua yawaka
siku zapita
hakuna matata

Verse 2

siku za mwizi ni arubaini
na siku za giza ndizo zawadia
akionekana
najua ye atanyongwa
mwana wa nyoka
kapindukia

Chorus

jua lanyesha
mvua yawaka
siku zapita
hakuna matata

jua lanyesha
mvua yawaka
siku zapita
hakuna matata

Verse 3

wanionaje
wanipe jembe
nikalime
wadhani huu ni upweke
wanionaje
mwenye wivu ajinyonge
utajinyonga, uh-huh
utajinyonga, uh-huh, uh-huh
haiyaee, haiyaee
jua lanyesha
haiyaee, haiyaee
mvua yawaka
haiyaee, haiyaee
siku zapita
hakuna matata
haiyaee, haiyaee
jua lanyesha
haiyaee, haiyaee
mvua yawaka
haiyaee, haiyaee
siku zapita
hakuna matata

Chorus

jua lanyesha
mvua yawaka
siku zapita
hakuna matata

jua lanyesha
mvua yawaka
siku zapita
hakuna matata

[www.mistari.com]
All lyrics are property and copyright of their owners. All lyrics provided for educational purposes only.
Copyright © mistari.com 2009