WAWESH LYRICS

"Mjanja"

Chorus

Msicheze na Wawesh ye ni Mjanja
Westlands wana sema ye ni Mjanja
Califonia wana jua ye ni Mjanja
Highlands wana wika ye ni Mjanja

Msicheze na Wawesh ye ni Mjanja
Ma chali wana jua ye ni Mjanja
Mamanzi wana sema ye ni Mjanja
And if you dont know we si Mjanja

Verse 1

ATERERE, dandia uko nyuma twende
Fagia shoulder yako kama ni vumbi
Ongeza sauti kama beat hidundi

Mamase mamase mamakusa
Hi wimbo ninafanya ni chakacha
Hi wimbo zioezi ku ka kata, chakacha

Chorus

Msicheze na Wawesh ye ni Mjanja
Westlands wana sema ye ni Mjanja
Califonia wana jua ye ni Mjanja
Highlands wana wika ye ni Mjanja

Msicheze na Wawesh ye ni Mjanja
Ma chali wana jua ye ni Mjanja
Mamanzi wana sema ye ni Mjanja
And if you dont know we si Mjanja

Bridge

Makofi, Makofi, Makofi, makofi

Verse 2

Nairobi poa chunga msika O.D.
Dar e salaam, kampala OGs
DJ fanya L double O P
Tupeni ma mikono bila ponyi
Mtengezani wa ngoma na stori
Aka obohu alafu softi
Wawesh atakufanya we unoki

Chorus

Msicheze na Wawesh ye ni Mjanja
Westlands wana sema ye ni Mjanja
Califonia wana jua ye ni Mjanja
Highlands wana wika ye ni Mjanja

Msicheze na Wawesh ye ni Mjanja
Ma chali wana jua ye ni Mjanja
Mamanzi wana sema ye ni Mjanja
And if you dont know we si Mjanja

Bridge

Makofi, Makofi, Makofi, makofi

[www.mistari.com]
All lyrics are property and copyright of their owners. All lyrics provided for educational purposes only.
Copyright © mistari.com 2009