WYRE LYRICS

"Chuki"

Na na na na ...

Verse 1

Ni sababu gani mwanitenda hivi
Uwongo mwanena kunihusu mimi
Hamnifahamu hamjui
Chenye nafanya maishani
Mwangu nyumbani 
Mwangu nyumbani 
Mijidai eti nyie marafiki
Kumbe nia zenu zilikuwa kundi
Kunitenganisha na mpenzi
Wa roho yangu na kuniacha
Mashakani, taabani

Chorus

Ni chuki, ndio na hisi
Nikiwaza jinsi
Mlivyojitolea kuniudhi
Bila matokeo yaani

Ni chuki, ndio na hisi
Nikiwaza jinsi
Mlivyojitolea kuniudhi
Bila matokeo yaani

Verse 2

Mambo yenu mi sishughuliki nayo
Mnavyoishi mimi sina hoja nayo
Kinachonihusu si lazima
Mkifahamu na kushinda
Mkipiga domo 
Mkipiga domo 
Mlichotenda kwangu kweli hakifai
Kiwango cha unchungu mlinipa yaani
Sina heshima kwenu tena
Ukuta wa chuki mlijenga
Kati mi nanyi 
Kati mi nanyi

Chorus

Ni chuki, ndio na hisi
Nikiwaza jinsi
Mlivyojitolea kuniudhi
Bila matokeo yaani

Ni chuki, ndio na hisi
Nikiwaza jinsi
Mlivyojitolea kuniudhi
Bila matokeo yaani

Bridge

Na na na na
Ni shida kuamini yaani
Na na na na
Kiwango cha uchungu mlionipa
Na na na na
Heshima kwenu mimi sina tena
Na na na na
Basi chuki ndio mimi nahisi

Chorus

Ni chuki, ndio na hisi
Nikiwaza jinsi
Mlivyojitolea kuniudhi
Bila matokeo yaani

Ni chuki, ndio na hisi
Nikiwaza jinsi
Mlivyojitolea kuniudhi
Bila matokeo yaani

[www.mistari.com]
All lyrics are property and copyright of their owners. All lyrics provided for educational purposes only.
Copyright © mistari.com 2009