XYZEE LYRICS

"Panda"

Chorus

bado tunapanda (panda)
wanataka kutushukisha lakini
bado tunakuja (kuja)
wanataka kutuzima lakini
bado tunawaka (waka)
wanataka kutushukisha lakini
bado tunapanda (panda)
wanataka kutuzima lakini

Verse 1

so me go to dem
move gal
mash up di place
one more time you uh bring down di flame
show gal, hii ni yako mami
XYZee twakuta vitu mami
tuna-run dem
cheki vile tuna-run dem
fake MCs tuwahande
mamanzi na ma-mini tuwahanye

tuna-run dem
cheki vile tuna-run dem
fake MCs tuwahande
mamanzi na ma-mini tuwahanye

X to the Y to the Z-E-E
all my ladies in the club wanna be with me
tutakuwa kwenye VIP
with my crew and my dogs who be chilling with me

Chorus

bado tunapanda (panda)
wanataka kutushukisha lakini
bado tunakuja (kuja)
wanataka kutuzima lakini
bado tunawaka (waka)
wanataka kutushukisha lakini
bado tunapanda (panda)
wanataka kutuzima lakini

Verse 2

one finger in the air
ruka juu tu like you just don't care
one finger in the air
ruka juu tu like you just don't care

one finger in the air
ruka juu tu like you just don't care
one finger in the air
ruka juu tu like you just don't care

tumekuwa kwenye hii game for long
bado tunapanda
tena hawa wengine wana-follow
bado tunakuja

tumekuwa kwenye hii game for long
bado tunapanda
tena hawa wengine wana-follow
bado tunakuja

Chorus

bado tunapanda (panda)
wanataka kutushukisha lakini
bado tunakuja (kuja)
wanataka kutuzima lakini
bado tunawaka (waka)
wanataka kutushukisha lakini
bado tunapanda (panda)
wanataka kutuzima lakini

Verse 3

panda, panda, pandapanda
panda, panda, pandapanda

panda, panda, pandapanda
panda, panda, pandapanda

so me go to dem
move gal
mash up di place
one more time you uh bring down di flame
show gal, hii ni yako mami
XYZee twakupa vitu mami

X to the Y to the Z-E-E
all my ladies in the club wanna be with me
tutakuwa kwenye VIP
with my crew and my dogs who be chilling with me

Chorus

bado tunapanda (panda)
wanataka kutushukisha lakini
bado tunakuja (kuja)
wanataka kutuzima lakini
bado tunawaka (waka)
wanataka kutushukisha lakini
bado tunapanda (panda)
wanataka kutuzima lakini

[www.mistari.com]
All lyrics are property and copyright of their owners. All lyrics provided for educational purposes only.
Copyright © mistari.com 2009